Mwanamuziki Kadijanito au ukipenda muite Kadja amefunguka kuwa,
anawashangaa sana wanaomfananisha uwezo wake wa kuimba na alio nao
mwenzake kutoka THT, Rubby.
Mwanamuziki Kadijanito
Kadja aliiambia safu hii kuwa, anajua uwezo wake wa kimuziki uko juu, hivyo wanaomlinganisha na Rubby wamekosa kazi ya kufanya.
“Unajua
mimi najijua niko levo gani, sijisifii ila mimi siyo levo za akina
Rubby, yule ni cha mtoto kabisa kwangu hivyo najisikia vibaya sana pale
mtu anapofikia hatua ya kunifananisha naye.
Kadja sasa anafanya poa na wimbo wake wa Sina Maringo ambao ameshaufanyia kichupa.
Post a Comment