Rais
wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Dk. John Pombe Magufuli akiwasili
kwenye uwanja wa kimataifa wa ndege wa KIA mkoani Kilimanjaro leo huku
akiongozana na Mkuu mpya wa Mkoa wa Arusha Mhe.Daudi Felix Ntibenda
tayari kwa hafla ya kuwatunuku kamisheni maafisa wapya wa jeshi la
Wananchi waliohitimu vyema mafunzo yao katika chuo cha Jeshi Monduli
Mkoani Arusha itakayofanyika Januari 23 /2016. PICHA NA IKULU
Rais
wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Dk. John Pombe Magufuli akishiriki
kupiga ngoma za utamaduni wakati alipowasili kwenye uwa nja wa ndege wa
KIA mkoani Kilimanjaro leo.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Dk. John Pombe Magufuli akizungumza
na wananchi waliofika kwenye uwanja wa ndege wa KIA mkoani Kilimanjaro
kwa ajili ya kumlaki uwanjani hapo.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Dk. John Pombe Magufuli akisalimiana
na wananchi waliofika kumlaki kwenye uwanja wa ndege wa KIA mkoani
Kilimanjaro.
Baadhi
ya wananchi wakimpungia mikono Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania
Dk. John Pombe Magufuli mara baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa
kimataifa wa KIA mkoani Klimajaro.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Dk. John Pombe Magufuli akizungumza
na wananchi waliofika kumlaki uwanja wa ndege wa KIA mkoani
Kilimanjaro.
Msafara
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Dk. John Pombe Magufuli
ukiondoka kwenye uwanja wa ndege wa KIA kuelekea Arusha mjini.
Post a Comment