Wahariri Wa Gazeti La Mawio Wajisalimisha Makao Makuu Ya Jeshi La Polisi Jijini Dar Es Salaam Leo.


Wahariri wa Gazeti la Mawio wakijisalimisha makao makuu ya Polisi jijini Dar es Salaam leo mara baada ya Jeshi la Polisi kutangaza kuwatafuta popote pale kwaajili ya kutoa maelezo kwa kuandika habari ya upotoshaji kwa jamii, wakiwa na Mwenyekiti wa Jukwaa la wahariri, Abalom Kibanda katika makao Makuu ya Jeshi la Polisi jijini Dar es Salaam.
Wahariri wa gazeti la Mawio wakizungumza  leo walipokuwa wanajisalimisha makao makuu ya Jeshi la Polisi jijini Dar es Salaam leo.
Mwenyekiti wa Jukwaa la wahariri, Abalom Kibanda  akizungumza na waandishi wa habari katika makao makuu ya Jeshi la Polisi leo jijini Dar es Salaam kuhusiana na kufungiwa na Serikali gazeti la Mawio jana.

Post a Comment

Previous Post Next Post