
Mabloggers
na Wananchi na Wanafamilia wakiwa katika viwanja vya Hospitali ya Amana
Jijini Dar es Salaam wakiuaga Mwili wa Marehemu Jenifer Livigha maarufu
kwa Jina la Chinga One mmiliki wa Blog ya www.chingaone.com, amefari
dunia juzi 18-2-2017 nyumbani kwake kinyerezi Jijini Dar es Salaam na
kuagwa leo katika viwanja vya Hospitali ya Amana Ilala Jijini Dar es
Salaam kwa ajili ya kusafirishwa Kijiji kwao Nachingwea kwa ajili ya
mazishi.







Post a Comment