HII NDIYO TUME ILIOTEULIWA NA WAZIRI KUCHUNGUZA MAUAJI YA DAUD MWANGOSI


Majina ya walioteuliwa na Waziri wa Mambo ya Ndani, Emmanuel Nchimbi kuchunguza mauaji ya mwanahabari, Daudi Mwangosi ni pamoja na:

  1. Jaji Mstaafu Steven Lihema - Mwenyekiti wa Tume
  2. Theophil Makunga (Tanzania Editors Forum (TEF))
  3. Pili Mtambalike (Media Council of Tanzania (MCT))
  4. Kanali Wema Wapo (JWTZ)
  5. Isaya Mangulu, Mtaalamu wa Mabomu

Tume hiyo imetakiwa kuja na majibu katika baadhi ya maswali yanayotia utata juu  ya mazingira mazima ya kifo cha marehemu

Post a Comment

أحدث أقدم