![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjPQnujRlgsZWenNgUHZ501kkWyuv1J5-oYP-bosroIFnWUM8HmSqe1FjZnm524Y6rOsnhi6MXS-uP6UP8zw-5aL7med1Ori_SqqpyUjj6Du7Qm6eyTKOMFau4opTeoJ94Flu4_lKLTdAQ/s400/308456_526528167373589_2131037141_n.jpg)
Pia Kuhusu kufuta Chorus Ya Tunda Man ,Dogo Janja amesema hatafuta chorus wala majina yoyote kwenye nyimbo sababu nyimbo zote ni mali yake na akiskia story kama hizi hiwa anakumbuka kuondoka TIPTOP Na 20000 tu mfukoni so anakumbuka machungu sana kwa mara ya kwanza aliposikia Tunda Anaongea mambo kama hayo .Alisema yeye na Tunda tumeishi vizuri sana so kama vipi aendele kusimamia Nyimbo yake mpya sio kunifatilia mimi .
Mskilize Dogo Janja Hapa.
إرسال تعليق