PAUNI MILIONI 100, KUMNUNUA RONALDO CHELSEA, MAN CITY AU PSG KUMWANIA.

  MOJAWAPO KWA 


Cheer up! Cristiano Ronaldo (pictured arriving at training on Monday) has said he is 'unhappy' with the current situation at Real Madrid
Cristiano Ronaldo (pichani akiwasili mazoezini jana)
KLABU zenye 'hela chafu', PSG, Manchester City na Chelsea zinajipanga kumtwaa Cristiano Ronaldo, baada ya mshambuliaji huyo kusema hana furaha Real Madrid.
Ronaldo aligoma kushangilia mabao yake Real Madrid Jumapili na akasema baada ya mechi hiyo ni sababu za kimchezo.
Cheer up! Cristiano Ronaldo (pictured arriving at training on Monday) has said he is 'unhappy' with the current situation at Real Madrid
Ronaldo anaingia Bernabeu

Klabu hizo tajiri kiasi cha kutosha zinaweza kutoa pauni Milioni 100 kuvunja mkataba wake Real uliobakiza miaka mitatu na zinaweza kumpa mshahara kuanzia pauni Milioni 1 kwa mwezi.
Jose Mourinho pia hatarajiwi kubaki Real, kuna uwezekano akaondoka msimu ujao na anaweza akamtanguliza Ronaldo sehemu atakayokwenda, zaidi City na PSG zikipewa nafasi kubwa.
Mshambuliaji huyo Mreno, alisajiliwa kutoka Manchester United kwa pauni Milioni 80 mwaka 2009, na hadi sasa ameipa Real taji la La Liga msimu uliopita, akifunga mabao 46 katika mechi 38  na mabao 60 katika mashindano yote, kiwango ambacho mchezaji huyo mwenhye umri wa miaka 27 anafikiri hakiendani na maslahi duni anayopata hapo.
Amefunga mabao 150 katika klabu hiyo, kiwango ambacho ni zaidi ya bao moja katika kila mechi, lakini bado anafunikwa Lionel Messi wa Barcelona. Wengine wanasema Messi ndiye anayemnyima raha kiasi cha kufikiria kuondoka.
Ouch! Ronaldo was substituted in Sunday's 3-0 win over Granada at the Bernabeu
Ronaldo alitolewa Jumapili katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Granada Uwanja wa Bernabeu baada ya kuumia
Is that it? Ronaldo failed to show much enthusiasm as he bagged two goals in the game
Aliwapungia tu mikono mashabiki baada ya kufunga juzi

Wakati alipoboronga akiichezea timu yake ya taifa, Ureno dhidi ya Denmark katika Euro 2012, mashabiki wa Denmark walimzomea wakitaja jina la Messi.
Ronaldo hapewi hadhi kubwa Real kama Messi anayopewa Barca na kituo kimoja cha Redio kiliripoti kwamba alikuwa na mazungumzo na raia wa klabu, Florentino Perez akilalamikia kutopewa sapoti katika chumba cha kubadilishia nguo.
Lakini pia na kukosa tuzo ya Mwanasoka Bora Ulaya mbele ya Andres Iniesta wiki iliyopita, kunaongeza machungu kwenye moyo wake.
Unhappy chappy: Ronaldo said he was 'sad' but refused to elaborate on the reasons why
Ronaldo akiwa benchi baada ya kutoka Jumapili

Post a Comment

أحدث أقدم