BIDHAA YA TreSSa YAZINDULIWA JIJINI MWANZ

Meneja masoko wa bidhaa za TreSSa, Manoj Kumar akizungumza na waandishi wa habari wakati wa uzinduzi wa bidhaa za TreSSa uliofanyika katika Hoteli ya Goldcrest jijini Mwanza jana.  Kulia ni Meneja wa bidhaa za TreSSa, Dorith Godfrey.
Balozi wa TreSSa, Eligiva Meena akipozi na kuonesha unywele wake ulivyo stawi.
Meya wa Jiji la Mwanza, Stanslaus Mabula akielezea furaha yake ya ujio wa bidhaa hiyo jijini Mwanza na namna itakavyoongeza ajira ya vijana hasa watoto wakike watakao kua wakiiuza.
Johan Vanden Heevevol akitoa maelezo ya bidhaa ya TreSSa.
Waalikwa wakifuatilia maelezo ya bidhaa hiyo ya TreSSa
Mwana dada Olever Nazareth mkazi wa malimbe jijini Mwanza akiwekwa dawa ya TreSSa na mhudumu wa salon.

Post a Comment

أحدث أقدم