Picha:Rais Jakaya Kikwete Atunukiwa Digrii ya Uzamivu ya Heshima (PHD Honoris Causa) na Chuo Kikuu cha Nelson Mandela


Mkuu wa Chuo Kikuu cha Nelson Mandela Dkt.Mohamed Gharib Bilal akimtunuku Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete Digrii ya uzamivu ya Heshima (PHD Honoris Causa) wakati wa mahafali ya pili ya chuo hicho iiyofanyika katika chuo hicho mjini Arusha  jana.

Post a Comment

أحدث أقدم