TANZANIA YAUNGANA NA NCHI NYINGINEZO DUNIANI KUADHIMISHA SIKU YA KIMATAIFA YA WALINDA AMANI WA UMOJA WA MATAIFA
Mgeni
rasmi Naibu wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mh. Mahadhi
Juma Maalim na Naibu Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Kazi Duniani (ILO) hapa nchini Bibi. Hopolang Phororo na UwaGeneral Officer Commanding (GOC) Meja Jenerali Hassan Vuai Chema akitoa heshima zake. wakishiriki kuimba wimbo wa taifa katika maadhimisho ya siku ya kimataifa ya walinda amani Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam wakati wa Sherehe
za Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Walinda Amani wa Umoja wa Mataifa
inayoadhimishwa kila Mwaka tarehe 29 Mei. Picha zote na MO BLOG
Mgeni
rasmi Naibu wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mh. Mahadhi
Juma Maalim akiweka shada la maua katika mnara wa kumbukumbu
ya mashujaa.
Naibu
Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Kazi Duniani (ILO) hapa nchini Bibi.
Hopolang Phororo akiweka Shada la Maua kama ishara ya kuwakumbuka
walinda Amani wa Afrika.
إرسال تعليق