ARSENAL WAKUBALI KUMUUZA VAN PERSIE BEI POA TU, WALCOTT NAYE HUYOOOOO

ARSENAL WAKUBALI KUMUUZA VAN PERSIE BEI POA TU, WALCOTT NAYE HUYOOOOO

HATIMAYE klabu ya Arsenal imekubali kumuuza mshambuliaji wake Robin van Persie, mwenye umri wa miaka 28, kwa dau la pauni Milioni 30 - na winga wa Washika Bunduki hao, Theo Walcott, mwenye umri wa miaka 23, anaweza pia kumfuata Mholanzi huyo katika mlango wa kutokea.

KOCHA wa Arsenal, Arsene Wenger amepanga kusajili wachezaji wawili wa Ufaransa, Olivier Giroud, mwenye umri wa miaka 25, na Yann M'Vila, mwenye umri wa miaka 21.

Chanzo:- Habari kamili: Sunday Mirror

Post a Comment

أحدث أقدم