MAN UNITED YAIKOMOA CHELSEA USAJILI WA BEKI LA KIBRZIL
Hisia0
KLABU ya Manchester United inajipanga kumuongezea mkataba mpya
Rafael da Silva, mwenye umri wa miaka 21, ili kuwakata maini wapinzani
wao katika Ligi Kuu England, Chelsea wanaommezea mate beki huyo Mbrazil.
Post a Comment