ERIC SHIGONGO AJIBU TUHUMA ZA JOSE CHAMELEON

ERIC SHIGONGO AJIBU TUHUMA ZA JOSE CHAMELEON



Baada ya Chameleon kuandamana na mashabiki wake mpaka ubalozi wa Tanzania nchini Uganda, kwa madai ya kurudishiwa passport yake iliyokuwa imeshikiliwa na mkurugenzi wa Global Publishers, Eric Shigongo, mkurugenzi huyo nae ameongea kwa upande wake kuhusu sakata hilo.Habari kwa hisani ya:- http://djfetty.blogspot.com msikilize hapo chini
 

Post a Comment

Previous Post Next Post