LIVERPOOL YANASA BONGE LA KIFAA CHA KITALIANO

KLABU ya Liverpool imekubali dili la pauni Milioni 12 kumnasa Fabio Borini, mwenye umri wa miaka 21, awe mchezaji wa kwanza kusajiliwa na kocha wao mpya, Brendan Rodgers, na Mtaliano huyo anatarajiwa kukamilisha usajili wake mwishoni mwa wiki.
 KUSAJILIWA kwa Fabio Borini kutahitimisha zama za Craig Bellamy katika Uwanja wa Anfield, na QPR na Cardiff zote zinaiwania saini ya mshambuliaji huyo wa Liverpool.
 

Post a Comment

أحدث أقدم