HUU NDIO UJUMBE ALIOUTOA MAICON BAADA YA KUSAJILIWA NA MAN CITY/PIA INTERVIEW YAKE YA KWANZA ALIYOFANYIWA HII HAPA(MAELEZO/VIDEO)

Done deal: Maicon is unveiled as a Man City player
Maicon akiwa na jezi ya Man City
Kocha wa Manchester City, Roberto Mancini amemnasa beki wa kulia wa Inter Milan, Maicon kwa dau la pauni Milioni 3. Usajili wa beki huyo Mbrazil ilikuwa moja ya malengo makuu ya Mancini kabla ya kufungwa kwa dirisha la usajili.

Interview ya kwanza kufanyiwa hii hapa


Post a Comment

Previous Post Next Post