MWILI WA ASKOFU WA MPANDA KIKOTI WAWASILI MPANDA.

Mapadri
wakiteremsha kutoka kwenye ndege mwili wa Marehemu Mhashamu Askofu
Pascal William Kikoti wa Mpanda wakati ulipowasili kwenye uwanja wa
ndege wa Mpanda, Agust 30, 2012.
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
إرسال تعليق