REDDS MISS ILALA 2012 WATAMBULISHWA

REDDS MISS ILALA 2012 WATAMBULISHWA

Mratibu wa Shindano la Redds Miss Ilala 2012, Gadner G Habash (wapili kushoto) akizungumza na waandishi wa habari kwenye ukumbi wa Nyumbani Lounge wakati akiwatambulisha warembo watakaoshiriki kwenye fainali ya Redds Miss Ilala ambalo washindi wataingia moja kwa moja kwenye fainali ya Redds Miss Tanzania. Kulia ni mmoja wa waratibu wa shindano hili Juma Mabakila. Cylivia Mashuda na Neema Mbula ambao ni walimu wa warembo hao. Jumla ya warembo kumi na tano watashiriki kwenye kinyang'anyiro hicho kitakachofanyika 07/09/2012 kwenye ukumbi wa Nyumbani Lounge.


Warembo wa Redds Miss Ilala 2012

Warembo wa Redds Miss Ilala 2012

Post a Comment

أحدث أقدم