Del Piero akikabidhiwa jezi namba 10 ya Sydney FC
|
Mshambuliaji
huyo mkongwe mwenye umri wa miaka 37 aliyewika Juventus amethibitisha
uhamisho huo leo mjini Turin katika Mkutano na Waandishi wa Habari.
"Nina furaha kusaini Sydney na kwa miaka miwili ijayo nitacheza nao," aliwaambia Waandishi wa Habari Del Piero leo.
Zaidi soma: http://www.dailymail.co.uk
Post a Comment