Angelo Henriquez akikabidhiwa jezi ya Manchester United |
Angelo Henriquez rasmi ametua Manchester United kwa pauni Milioni 4 |
Nyota
huyo wa Amerika Kusini anatua Old Trafford kutoka klabu ya Universidad
ya Chile, ambako alifunga mabao 11 katika mechi 17 mwaka 2012 na
kuisaidia timu yake kutwaa ubingwa wa taifa lake.
Henriquez amekuwa na klabu hiyo tangu mwezi wote uliopita
Read more: http://www.dailymail.co.uk
Post a Comment