Siku tatu baada ya Fid Q kutuhumiwa na orijino komedi kwa kukopy na kupesti wimbo wake wa danger kutoka kwa msanii wa marekani,leo hii amezungumza na fetty na kusema kuwa jamaa aliechana kwenye beat hiyo ni mwizi,
"ametuibia sisi yaani mimi na producer choba..mwanzoni aliomba kuitumia lakini alishindwa kuilipia akaingia mitini.. ndio maana ni msanii ambae hapatikani twitter, facebook na wala hana website na yeyote atakaekuwa na info zake atuambie maana wenyewe tunamtafuta...msikilize hapo chini
"ametuibia sisi yaani mimi na producer choba..mwanzoni aliomba kuitumia lakini alishindwa kuilipia akaingia mitini.. ndio maana ni msanii ambae hapatikani twitter, facebook na wala hana website na yeyote atakaekuwa na info zake atuambie maana wenyewe tunamtafuta...msikilize hapo chini
Fid Q hakuishia hapo aliendelea na kusema kuwa, tusione mtu mweupe
tukadhani yeye ndio originator wa kitu flani...na kuzungumzia kuhusu
wimbo wake wa sihitaji marafiki kuridiwa na mmarekani anaeitwa Benjamin
kutoka Filladelfia Marekani, ambae ameomba kufanya hivyo...
na huu ndio wimbo uliorudiwa na Benjamin kutoka Filladelphia ukiwa na
beat ya Sihitaji marafiki nao ukiitwa i dont need friends..nimeweka
verse moja kwasababu bado ni demo haijakamilika

إرسال تعليق