MWASITI KUFANYA NGOMA KWA PRODUCER MKALI MAREKANI


Mwasiti ambae kwa sasa anafanya vizuri sana na pini lake MAPITO, ametoa info kuwa kwa sasa amefanya ngoma na producer mkubwa marekani anaeitwa Hakeem.Producer Hakeem ameshatengeneza ngom aya Akon (i wanna be with you),ngoma ya Youssundou nazingine kibao."Nimefanya nae ngoma mbili moja ikizungumzia wanawake na matatizo yanayowakuta, ila ya pili ipo kibongo fleva zaidi, nimefurahi sana na naiheshim sana kazi yangu." amesema mwasity...msikilize hapo chini

Post a Comment

أحدث أقدم