TID AZINGUANA NA SHABIKI WAKE FACEBOOK("YOU ARE FUCK"...."A FOOL CALLING HIMSELF A WINNER"....HAYA NI MATUSI ALIYOPEWATID)


Top in Dar, TID leo amejikuta akizunguana vibaya na shabiki wake wa kike kwenye Facebook.

Picha lilianza baada ya TID kuandika status inayosema, “Am tha Guy who did tha song KIUNO which is currently the No.1 song in the Country I only do Killer tracks that kill people but I don't kill people..........”

Status hiyo ilimkera msichana aitwaye Happiness ‘Cutegal’ Ignas ambaye aliamua kumpa live TID.

“But stop being arrogant! U luk like a fool b4 pipo! We love ur music bt too rude thus y u NEVER get further! Kama unamfwatilia hata interview TID is rude n too emotional.”

“Don’t get upset she is jus a loozer am the winner keep me posted mnyama mkali, “alijibu TID.

“She doesn't knw me @all she wants to be famous don't worry am not allow them to reach this far,let me block the groupy!”

Majibu ya TID yalimpandisha morali Happiness aliyeamua kufunguka zaidi.
Happiness
“hehehe!! Whatever u talk! Ur a fuck a mean!! A fool callin himself a winner!! Wonders shld neva end! Whaat! Want to be famous?? Hahaha see how zero brain ur! Dnt b twisted hia! It was just a piece of advice, or watever u cal urself! Watch ur smelln mouth!! Nonsense of highest degree."

Aliendelea kufunguka zaidi, “tatizo sio humanity error, TID anajua kuimba, anajua kucheza, anajua kuvaa lakini hajui ku create gud image, hapendi ushauri, 2sipomwambia sisi atamwambia nani? TID angetakiwa kuwa mbali sasa, sio kuwa dominant, y ameanza mziki long bt he stil da xme! Y?? Aache kujisikia bwana. 

Ulishamwona T.ID anafanya interview?? As if anaimbia na cash money, as if he has gained!! Unajua kuna mtu waweza mtazama ukamhesabu kwenye mazuri bt kumbe sivyo, TID z arrogant, rude n mean!!!”

Post a Comment

Previous Post Next Post