VURUGU ZAZUKA ARUSHA,WAMACHINGA WAKOMBOA ENEO LILILOUZWA

 Umati wa watu wakiwa wanaandamana kuvunja uzio na kuweka soko  mikononi mwao
   Hapa Wakati wanachoma Mbao pamoja na Mataili wananchi wengine wanabomoa bomoa uzio
  Hivi Ndivyo wananchi wanavyo Choma matail muda huu eneo la uwanja wa Kilombero ambao uliuzwa kinyemela na sasa wananchi wamerudisha na kulifanya soko.Kwa hisani ya Haki Ngowi Blog

Post a Comment

أحدث أقدم