PINDA AWASILI DODOMA KUHUDHURIA VIKAO VYA BUNGE VINAVYOANZA KESHO.
Hisia0
Waziri
Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Dkt. Rehema
Nchimbi baaada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Dodoma kwa ajili
ya kikao cha Bunge kinachotarajiwa kuanza Oktoba 30, 2012. (Picha na
Ofisi ya Waziri Mkuu).
Post a Comment