YANGA NA POLISI MORO KATIKA PICHA

Haruna Niyonzxma akiambaa na mpira


David Luhende akivuta tela lake

Haruna Niyonzima baada ya kutia krosi

Mbuyu Twite akimdhibiti Nicholas Kabipe wa Polisi, huku Nahodha Nsajigwa Shadrack akiwa tayari kutoa msaada

Jerry Tegete akiwania mpira na beki wa Polisi

Penalti...Msuva akiwa ameangushewa kwenye eneo la hatari na beki wa Polisi kulia

Barthez amedaka

Kocha Ernie Brandts akimpongeza Kavumbangu baada ya mechi, kulia Kocha Msaidizi Freddy Felix Minziro
Hatari kwenye lango la Polisi
Msuva akienda chini baada ya kupigwa kwanja na beki wa Polisi (hayupo pichani)
Msuva akishangilia bao lake
Hatari kwenye lango lango la Yanga 
Picha na Bin Zubeiry(http://bongostaz.blogspot.com/ ) 
Kavumbangu anamuwajibisha beki wa Polisi
Kavumbangu anafanya vitu
Kiiza katika mishe mishe
Kiiza anakwenda
Hatari kwenye lango la Yanga
Nahodha Nsajigwa anatia krosi
Kazi kazi
Kavumbangu anazuia mpira uliopigwa na mchezaji wa Polisi
Msuva alipofunga bao lake 
Kavumbangu akichomoka kushangilia baada ya kufunga
Tegete akishangilia na Kavumbangu
Kavumbangu akisababisha

Post a Comment

Previous Post Next Post