VIDEO: PUNGUZA MWENDO - ANKO JOZ FT NATURE NA STOPA

Baada Ya Wasanii Wengi Kuimba Kuhusu Mapenzi,Siasa,Mazingira,Ukimwi Na Vitu Vingine Msanii Anko Joz Akiwa Na Juma Nature Na Stopa Wamekuja na idea ya tofauti sana Kwa ajili ya Kukumbusha jamii mambo ya msingi.


Wamefanya Ngoma zaidi ya 5 Kuhusu Ajali za Barabarani, Ajali imekua nyingi na nyingine zinasababishwa na uzembe Na Ajali Zinaua sana hata kuliko ukimwi na magonjwa mengine..Video Imedhaminiwa na NATIONAL ROAD SAFETY COUNCIL OF TANZANIA Chini Ya Kamanda Mpinga...

Hongereni Na Wasanii Wengine Waige Kufanya nyimbo za mafundisho zinazokumbusha jamii kuwa waangalifu katika kila kitu hasa ajali mbaya zinazotokea kila siku na kuua ndugu,jamaa na marafiki kila siku...Tanzania Bila Ajali Pia Inawezekana

Post a Comment

أحدث أقدم