Redds Miss Tz 2012 Brigitte Alfred, akabidhiwa Gari lake!!

 Mrembo Brigitte Alfred Redds Miss Tanzania 2012 akikabidhiwa zawadi ya gari yake Jana tarehe 10 Desemba 2012 na Katibu Mkuu wa Kamati ya Miss Tanzania, bw. Bosco Majaliwa.  katika ofisi ya Lino International Agency Limited zilizopo Mikocheni jijini D'salaam

Post a Comment

أحدث أقدم