Msanii huyo ambaye amekiri kwa kusema kuwa kundi hilo kwa sasa limechafuka katika jamii ni kutokana na tabia mbaya za wasanii wachache ambao inawezekana nyuma ya pazia kuna biashara nyingine wanayotegemea ndio maana wanafanya upuuzi unaowatukanisha wanawake waliopo katika tasnia ya filamu na jamii kuwapuuzia kama ni watu wasiojitambua.
Msanii huyo ambaye amekiri kwa kusema kuwa kundi hilo kwa sasa limechafuka katika jamii ni kutokana na tabia mbaya za wasanii wachache ambao inawezekana nyuma ya pazia kuna biashara nyingine wanayotegemea ndio maana wanafanya upuuzi unaowatukanisha wanawake waliopo katika tasnia ya filamu na jamii kuwapuuzia kama ni watu wasiojitambua.
Post a Comment