Wachezaji wa
Zanzibar wakiwa wamembeba kipa wao, Mwadini Ally baada ya kupangua mkwaju mmoja
wa penalti, na kuiwezesha timu hiyo kutinga Nusu Fainali ya Kombe la Mataifa ya
Afrika Mashariki na Kati, CECAFA Tusker Challenge baada ya kuifunga Burundi kwa
penalti 5-4 kwenye Uwanja wa Lugogo, mjini Kampala, Uganda jioni hii. Zanzibar
sasa itacheza na mshindi kati ya Kenya na Malawi.
|
Post a Comment