BABU WA SIMBA 'HATUMI MTOTO DUKANI' MWANZO MWISHO


Tofauti na makocha wengi wa Kizungu wanaokuja nchini kufanya kazi, katika mechi huwaachia Wasaidizi wao wazalendo majukumu ya kuzungumza na wachezaji mchezo unapoendelea, kocha wa Simba, Mfaransa Patrick Liewig juzi katika mechi dhidi ya African Lyon alikuwa akipigizana nao mwenyewe kelele, hadi kuna wakati mwamuzi wa akiba alisimama kumuamuru aketi kidogo baada ya kusimama muda mrefu mfululizo akisema nao.

Babu Liewig anasema nao

Babu anasema nao wakati wasaidizi wake wanakula kipupwe kwenye sofa

Hapa refa anakuja kumuambia akae 

Hapa Julio aliinuka kumsaidia kusema nao

Refa anamuacha Julio asimame, anamuambia Babu akakae

Babu anauliza, mbona Julio humuambii akae, refa anamuambia huyu kasimama sasa hivi, we tangu maechi ianze bwana hadi sasa hivi mnaongoza 3-1 bado hujakaa tu

Babu kakubali yaishe anakaa

Post a Comment

أحدث أقدم