- Gereza la Masasi lavunjwa na waandamanaji .....
- Magari 18 na pikipiki 7 na Jenereta la halmashauri vyachomwa moto
- Majeruhi wakimbizwa Ndanda hospital

Gari ya kubebea Wagonjwa (Ambulance) ya halmashauri - Masasi

Nyumba ya Mbunge Viti maalumu CCM - Maria Kasembe ikiteketea kwa moto

Magari ya Halmashauri na ya Wafanyakazi - Masasi

Ofisi ya Halmashauri ya Wilaya - Masasi.

Ofisi za Maliasili na Ardhi - Masasi

Ofisi za Elimu - Masasi

Jenereta la Manispaa - Masasi

Wauguzi wa Ndanda Hospital wakiwa stand by kupokea majeruhi



Post a Comment