picha hii ni ya bot iliyozama mwaka jana |
Taarifa zilizopo wakati huu ni kuhusu kuzama kwa Jahazi liitwalo Sunrise
likitokea Tanga kulekea visiwani Zanzibar likiwa na abiria 32 ambapo
limezama kwenye lile eneo la Nungwi ambalo ni hatari siku zote.
Kamanda wa Polisi Zanzibar amesema kuwa “tayari tumeshapokea watu 21
waliookolewa wakiwa wazima na hakuna maiti iliyopatikana mpaka sasa
hivi, waliokuwemo kwenye chombo ni watu 32 hivyo watu bado watu 11
hawajulikani walipo”
endelea kupita hapa kwa habari kamili ya tukio hili.
Post a Comment