UJIO MPYA WA MSANII 'AMA G' NDANI YA MWAKA 2013

AMA G msanii tokea pande za rockcity Mwanza anayefanya vizuri kupitia video ya NENDA SALAMA anatoa shukrani kwa Watanzania kwa kumpokea vizuri kupitia ngoma ya NENDA SALAMA msanii huyo anayetarajia kuondoka Tanzania mwishoni mwa mwezi huu kuelekea South Africa kwa ajiri ya kushoot Video ya ngoma mpya ambayo hajapenda kuzungumzia kwa sasa ila amawataka watanzania kuwa tayari kwa ujio mpya na muonekano mwingine wa msanii huyo ndana ya mwaka huu wa 2013,pia anatoa shukrani kwa Media zote kumpokea vizuri pamoja na Management nzima ya TAILANO MUSIC chini ya producer Amigar Tygar.

Post a Comment

أحدث أقدم