ANAHITAJI MSAHADA WA MATIBABU

 

 Jamani huyu mtoto wa miaka 10 yupo katika hospitali ya wilaya nachingwea na hivyo unavyoviona ni vidonda vilivyotoa usaha!hospitali haina dawa na wamepewa uhamisho wa hospitali lakini wazazi hawana ki2 so ikiku-touch msaada unatakiwa kutoka kwako....ukiwa karibu na wilaya ya nachingwea tembelea wodi ya wanaume au ukiwa mbali unaweza kuchangia kwa tigo pesa 0712662546.

Post a Comment

Previous Post Next Post