Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akisalimiana na Balozi Johnnie Carson, wakati makamu alipofika Ofisini kwa
Balozi huyo kwa mazungumzo leo, Feb 7, 2013. Balozi Carson ni msaidizi wa
Waziri wa Mambo ya nje wa Marekani anayeshughulikia masuala ya Afrika. Picha na
OMR
Post a Comment