MWANAMKE ANYONGWA KWA KHANGA NA KUTELEKEZWA MUSOMA…

dead-woman.n[1]

Mwanamke ambaye jina lake halikufahamika mara moja mkazi wa Buhare Mgaranjabo, mjini Musoma, amekutwa amekufa kwa kunyongwa na khanga na mwili wake kutupwa kichakani na watu wasiojulikana huku nguo zake za ndani zikiwa zimechanwa.
Taarifa iliyotolewa jana kwa vyombo vya habari na Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Mara, Absalom Mwakyoma ilisema tukio hilo lilitokea..Read More
Source: Ziro99

Post a Comment

Previous Post Next Post