Peter Amandus ashinda Tshs 5,000,000 za DStv Rewards

Peter Amandus mfanyakazi wa TRA (kati) akifurahia Tshs 5,000,000 alipozawadiwa na DStv kwa kulipia akaunti yake ya DStv kabla ya kukatika. Kulia ni Barbara Kambogi (Meneja Uhusiano), Ronald Shelukindo (Meneja Uendeshaji) na Furaha Samalu (Meneja Masoko) wa kampuni ya MultiChoice Tanzania.
 

Post a Comment

أحدث أقدم