Missy Temeke Birthday Dinner

Kama kawaida yetu hatuna budi kumshukuru sana Mwenyezi Mungu kwa kutujalia uzima na afya njeema, vile vile  tumshukuru tena sana kwa siku hii muhimu sana kwako Mwanamitindo wetu mbunifu  Kwetu Fashion Designer Missy Temeke,  kwa siku ya kuzalia kwako, wadau wote wa swahilivilla wanakutakia siku njeema, maisha marefu ya kujitanafasi, wewe pamoja na familia yako inshaallah. ''Aameen.

Mwanamitindo Mbunifu wa Kwetu Fashion Designer Missy Temeke akiwana na mwanawe vLittle Princess Tuma wakati akikaribia kukata Birthday Cake yake Siku ya Jumamosi  March 16, 2013 kwenye ukumbi wa Hilton Hotel, iliopo Rockville Maryland Nchini Marekani 

Mwanamitindo Mbunifu wa Kwetu Fashion Designer Missy Temeke birthday cake yake

Mwanamitindo Mbunifu wa Kwetu Fashion Designer Missy Temeke akiwa na wageni waalikwapamoja na familia yake tayari kwa ku-wish na kukata Birthday Cake yake
Dogo Salamu akiwa na baba yake pamoja na mdogo wake Tuma mwenye Pinky wakianda kuchomeka Mishumaa kwenye Cake ya Mama Mpendwa ambae ni Missy Temeke kwaajili ya kukata na Ku-Make Wish ya Siku ya Kuzaliwa kwake .

Baada ya kukatwa keki mdhamini wa pendo la Mwanamitindo Mbunifu wa Kwetu Fashion Designer Missy Temeke akimegua kaki kwaajili ya kuliwa.

Mdhamini wa pendo la Mwanamitindo Mbunifu wa Kwetu Fashion Designer Missy Temeke wakipata flash ya pamoja

  
Nguo ya mshono iliou- desig mwenyewe Missy Temeke (Picha ya pili) na mgeni mualikwa wakipata picha ya pamoja Siku ya Jumamosi  March 16, 2013.


Wageni waalikwa wakiwa kwenye Birthday Dinner ya Siku ya Jumamosi  March 16, 2013 kwenye ukumbi wa Hilton Hotel, iliopo Rockville Maryland Nchini Marekani 

Wageni waalikwa wakiwa kwenye Birthday Dinner ya Siku ya Jumamosi  March 16, 2013 kwenye ukumbi wa Hilton Hotel.
Autiee Waheeda akiwa na wageni waalikwa  kwenye Birthday Dinner ya Miss Temeke iliofanyika Siku ya Jumamosi March 16, 2013 kwenye ukumbi wa Hilton Hotel, iliopo Rockville Maryland.
    
    
    
Ladha: Vyakula vilivyoliwa  kwenye Birthday Dinner ya Miss Temeke iliofanyika Siku ya Jumamosi March 16, 2013 kwenye ukumbi wa Hilton Hotel, iliopo Rockville Maryland.

Maryam na mdhamini wa pendo lake  kwenye Birthday Dinner ya Siku ya Jumamosi March 16, 2013 kwenye ukumbi wa Hilton Hotel, iliopo Rockville Maryland.

Tuma huyoo na mdhamini wa pendo lake kwenye Birthday Dinner ya Miss Temeke iliofanyika Siku ya Jumamosi March 16, 2013 kwenye ukumbi wa Hilton Hotel, iliopo Rockville Maryland

Dada Sabrina nae hakua nyuma na mdhamini wa pendo lake kwenye Birthday Dinner ya Miss Temeke iliofanyika Siku ya Jumamosi March 16, 2013 kwenye ukumbi wa Hilton Hotel, iliopo Rockville Maryland.

Loveness pia na mdhamini wa pendo lake  kwenye Birthday Dinner ya Siku ya Jumamosi March 16, 2013 kwenye ukumbi wa Hilton Hotel, iliopo Rockville Maryland.






\









Post a Comment

Previous Post Next Post