Taarifa zisizokuwa rasmi zime premier all over East Africa kwasasa kuwa
huenda timu teule ya taasisi ya rais mteule Uhuru Kenyatta
inashughulikia orodha ya wasanii watakaofanya onyesho kubwa huko kenya
siku ya kuapishwa kwake.
Mtandao mmoja maarufu nchini kenya umenasa na kuvujisha majina ya
ma-star wakali kibao akiwemo Rihanna, Chris Brown, Nicki Minaj, Toni
Braxton, Alaine, Burning Spears na kudai kuwa mastar hao watafanya yao
wakati ambapo Uhuru Kenyata atakuwa anafanya yake katika siku ya
kuapishwa.
Uvumi huo usio na kichwa wala miguu umewashika wengi maskio hasa wapenzi wa burudani huko Kenya licha ya kutokuwa na uthibitisho wowote kuhusu jambo hilo.
Uvumi huo usio na kichwa wala miguu umewashika wengi maskio hasa wapenzi wa burudani huko Kenya licha ya kutokuwa na uthibitisho wowote kuhusu jambo hilo.
Tetesi zimevuma kila kona siku ya jana kuwa kwasasa maandalizi ya
onyesho hili kubwa kabisa Kenya yapo katika hatua za mwisho info rasmi
zikiwa mbioni kutangazwa soon kwenye vyombo vya habari.
إرسال تعليق