MrJazsohanisharma

HATIMAYE MAFUNZO YA UREFAREE YAKAMILIKA LEO TAR:- 06.04.2013 KATIKA WILAYA YA BARIADI MKOA WA SIMIYO


 
Mkufunzi wa mafunzo kutoka TFF, Ndg Luiza akiwa na mmoja wa washiriki wa mafunzo hayo ndg. Azizi Abed kushoto aliyesimama
Picha hizi zimepigwa kwa Simu,samahani kwa picha zisizokuwa na ubora
Mwalimu Mfaume Abdallah, mwalimu wa michezo kutoka Shule ya Msingi Guduwi akiwa katika mafunzo hayo.
Katibu wa chama cha mpira wilaya ya Bariadi Ndg. Sologo, akiwa uwanjani akiangalia mafunzo(Copa test ikivyoendelea
Mkufunzi wa TFF Taifa Ndg A. Luiza, kushoto, akiwa katika picha ya pamoja na washiriki
Baadhi ya washiriki wa Mafunzo ya Urefa, wakiwa wamepumzika baada ya Copa test
Washiriki wa kopa test wakiingojea maelezo kutoka chama cha mpira Wilaya baada ya kumaliza Copa test,

Post a Comment

Previous Post Next Post