MrJazsohanisharma

KUPENDEKEZA KATIKA KUFUNGA MWEZI WA SHAABAN NA KUTAJWA FADHLA ZAKE NA KUWEKA WAZI HUKMU ZAKE NA KUHADHARISHA BID’A ZAKE


MUANGAZA KUTOKANA NA NURU YA UTUME

Imepokewa kwa Usama Ibn Zaid amesema: nilisema ewe Mtume wa Mwenyezi Mungu sijakuona ukifunga katika mwezi wowote hivi unavyofunga katika mwezi wa Shaabani? Akasema Mtume huo ni mwezi ambao watu wanaghafilika nao baina ya Rajab na Ramadhan na huo ni mwezi ambao amali za watu hurufaishwa kwa bwana wa viumbe kwa hivyo nnapenda zirufaishwe amali zangu na hali mimi ni mwenye kufunga”

Sahihi Targhiib (1022)

Bismillahir Rahmanir Raheem

Hakika saumu ni ibada kubwa na ni siri baina ya mja na Mola wake wala haijui siri hiyo isiyo yeye na waja huwa wakaijua siri hiyo kwa kuacha vitu vyenye kufunguza vya dhahir, ama kuwa mtu amewacha chakula chake na kinywaji chake na matamanio yake kwa ajili ya Mola wake hilo ni jambo ambalo hawawezi kulijua watu na hiyo ndiyo hakika ya saumu.(1)

Post a Comment

Previous Post Next Post