IMG_7606
Aneth Kushaba AK 47 akiongoza kikosi kazi cha Skylight Band kutoa burudani katika usiku maalum wa Kiafrika kwa mashabiki wa Band hiyo Jumaa lililopita ndani ya uwanja wao wa nyumba Thai Village- Masaki jijini Dar. Usikose Ijumaa hii burudani kama kawaida
IMG_7626
Mbunifu wa Mavazi nchini Ally Rehmtullah alikuwa miongoni mwa mashabiki waliohudhuria usiku huo maalum uliondaliwa na Skylight Band..Pichani Ally Rehmtullah akiserebuka muziki wa Kiafrika na warembo aliombatana nao.
IMG_7645
Mashabiki wa Skylight Band wakiburudika na muziki Kiafrika katika usiku maalum uliondaliwa na Band hiyo Juma lililopita ndani ya kiota cha Thai Village.
IMG_7661
Rappa wa Skylight Band Sony Masamba akiwarusha mashabiki wake ndani kiota cha Thai Village Juma lililopita.
IMG_7646
Raia wa kigeni wakionekana kuchizika na burudani ya Skylight Band.
IMG_7634
Wadada wakijimwaga kwa raha zao.
IMG_7651
Wewe burudani mwanzo mwisho…Usikose Ijumaa hii.
IMG_7620
Mary Lukas akifanya yake jukwaani.
IMG_7656
Palikuwa hapatoshi mpaka wengine walitamani kuvua mashati kwa utamu wa muziki.
IMG_7653
Wapiga Solo na Bass wa Skylight Band wakiwajibika ni Allan Kisso na Chili Chala.
IMG_7623IMG_7623
Aneth Kushaba AK 47 alishuka jukwaani na kuwafwata wale walioketi na kuwaimbia nyimbo nzuri za Kiafrika katika usiku maalum Juma lililopita.
IMG_7664
Mashabiki wa Skylight Band wakishtua Style mpya ya kucheza  Band hiyo inayofahamika kama “Yachuma Yachuma”.
IMG_7668
Hapo sana wadada warembo wakishindina kunengua jukwaani huku mmoja wao akimpagawisha Joniko Flower.
IMG_7659
Ukumbi ulifurika ni wewe tu ndio ulikosekana fanya Ijumaa hii uwepo ndani ya kiota cha Thai Village.
IMG_7640
Picha na Moblog