UKWELI KUHUSIANA NA MESSAGE ILIYOSAMBAA SANA KUWA P - FUNK NA MCHOMVU WALIPIGANA VIWANJA VYA LEADERS HUU HAPA

Leo jioni kuna msg zilikuwa zikitembea zikisema kuwa Prod Majani amepigana na mtangazaji kutoka Clouds FM anajulikana kwa jina la Adam Mchomvu maeneo ya Learders Club wakati sio kweli kabisa. P-Funk yeye alikuwa busy na kamati na hadi uvumi huo unatokea Adam alikuwa hayupo kwenye eneo la tukio kabisa. Adam yeye alitokea majira ya jioni na kushangaa story hizo, picha hiyo niliwapiga wakiwa pamoja ili kuwaambia watu kuwa huo uvumi ni kutaka kuleta mvurugano wakati huu tuliokuwa nao wakuondokewa na mwenzetu Albert Mangweha

Post a Comment

أحدث أقدم