Wateja watano wajizolea Milioni 2 kila mmoja za Cheka Nao





Meneja wa Idara ya Malipo ya Kabla wa Vodacom Tanzania, Yvonne Maruma (katikati) pamoja na Meneja Uhusiano wa kampuni hiyo Bw.Matina Nkurlu (kushoto) wakichezesha droo kubwa ya Promosheni ya Cheka Nao ambapo washindi watano walipatikana na kujishindia shilingi Milioni 2 kila mmoja,Promosheni hiyo inawawezesha wateja kuongea na mitandao yote bila mipaka kwa bei nafuu,na Ili kujiunga mteja anatakiwa kupiga *149*01#.akishuhudia ni Ofisa wa bodi ya michezo ya kubahatisha Tanzania Bi.Chiku Saleh.




Meneja Uhusiano wa Vodacom Tanzania,Bw.Matina Nkurlu akimpigia mmoja wa washindi miongoni ya watano waliojishindia shilingi milioni mbili kila mmoja kwenye droo kubwa ya Promosheni ya Cheka Nao,inayowezesha wateja kuongea na mitandao yote bila mipaka kwa bei nafuu. Ili kujiunga mteja anatakiwa kupiga *149*01#.wanaoshuhudia ni Meneja wa Idara ya Malipo ya Kabla wa kampuni hiyo, Yvonne Maruma (kati kati)pamoja na Ofisa wa bodi ya michezo ya kubahatisha Tanzania Bi.Chiku Saleh.




Meneja wa Idara ya Malipo ya Kabla wa Vodacom Tanzania, Yvonne Maruma (kati kati) akizungumza na waandishi wa habari(hawapo pichani)wakati wa kuchezesha droo kubwa ya Promosheni ya Cheka Nao ambapo washindi watano waliojishindia shilingi milioni 2 kila mmoja,Promosheni hiyo inawawezesha wateja kuongea na mitandao yote bila mipaka kwa bei nafuu. Ili kujiunga, mteja anatakiwa kupiga *149*01#.wanaoshuhudia kushoto ni Meneja Uhusiano wa kampuni hiyo Bw.Matina Nkurlu (kushoto) pamoja na Ofisa wa Bodi ya Michezo ya kubahatisha nchini Bi.Chiku Saleh.

Post a Comment

Previous Post Next Post