ARSENAL KUMUUZA GERVINHO ILI KUMNYAKUA HIGUAIN

Habari kutoka ndani ya klabu ya Arsenal ya Uingereza zinasema ya kuwa zipo mbioni kumuuza mshambuliaji wa kutoka Ivory Coast Gervinho ili kuweza kutoa nafasi ya kumsajili Higuain, kwa mujibu wa kituo cha habari cha michezo cha Sports direct News kimemnukuu Wenger akisema wanajiandaa kumuu za mshambuliaji huyo ili kupisha usajili wa jina kubwa kutua the Gunners, imeelezwa mchezaji huyo atauzwa kiasi cha £8million na Arsenal kupata hasara ya £3million ambazo atarudishiwa Gervinho.
Tayari klabu za Fenerbache and Galatasaray zimeshaonyesha nia zao za kutaka kumnyakua mshambuliaji huyo ambaye tayari amekwisha ipachikia Arsenal magoli 45 tangia ajiunge na Arsenal.

Post a Comment

أحدث أقدم