Rasimu ya Katiba: Wananchi Moshi, Kalambo na Musoma Wajadili na Kutoa Maoni.

6 Musoma Vijijini
 Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Jaji Joseph Warioba akiongea na Wajumbe wa Baraza la Katiba la Wilaya ya Musoma Vijijini waliokutana kujadili Rasimu ya Katiba. Mkutano huo ulifanyika wilayani Musoma.
1 Moshi

Mjumbe wa Baraza la Katiba la Halmashauri ya Wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro Bi. Elingao Mshanga akitoa maoni kuhusu Rasimu ya Katiba katika mkutano uliofanyika mjini Moshi juzi.
2 Kalambo
 Mjumbe wa Baraza la Katiba la Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa Bw. Godfrey Sichona akitoa maoni kuhusu Rasimu ya Katiba katika mkutano uliofanyika wilayani humo hivi karibuni.
3 Moshi

Mjumbe wa Baraza la Katiba la Halmashauri ya Wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro Bw. Dennis Tesha akizungumza katika mkutano wa kujadili Rasimu ya Katiba uliofanyika wilayani humo juzi.
4 Kalambo

Mjumbe wa Tume  ya Mabadiliko ya Katiba Prof. Mwesiga Baregu akiongea na baadhi ya Wajumbe wa Baraza la Katiba la wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa wakati wa mkutano wa kujadili Rasimu ya Katiba. Mkutano huo ulifanyika wilani Kalambo hivi karibuni.
5 Moshi
Mjumbe wa Baraza la Katiba la Wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro Prof. James Mdee akitoa maoni kuhusu Rasimu ya Katiba katika mkutano uliofanyika mjini Moshi hivi karibuni.

Post a Comment

أحدث أقدم