VIDEO: CAMERA ZA SIRI ZAFICHUA MAOVU YA 'HAUSIGELI' KWA MTOTO WA BOSI WAKE....!!!



Upo uwezekano mkubwa wa haya mambo kutokea kwenye familia nyingi hasa za Kiafrika ambazo desturi yetu ni kuajiri wasichana wa kazi kabisa.
Hii video hapa chini ni ripoti ya kusikitisha ambayo ilitolewa nchini Kenya baada ya Kamera kutegeshwa kwa siri ili kuona Wasichana wa kazi huwa wanafanya nini wakiwa wamebaki wenyewe nyumbani?

Post a Comment

Previous Post Next Post