Mwezeshaji
katika baraza la katiba la wabunge wanawake Tanzania Jaji Mstaafu Mhe.
Jaji Mstaafu Eusebio Munuo akiwakilisha mada kuhusu yaliyomo katika
rasimu ya katiba.
Wabunge wanawake wanaunda baraza la katika la Chama cha wabunge wanawake Tanzania (TWPG) wakifuatilia mada kwa makini
Wabunge wanawake wanaunda baraza la katika la Chama cha wabunge wanawake Tanzania (TWPG) wakifuatilia mada kwa makini
Wabunge wanawake wanaunda baraza la katika la Chama cha wabunge wanawake Tanzania (TWPG) wakifuatilia mada kwa makini
Wabunge wanawake wanaunda baraza la katika la Chama cha wabunge wanawake Tanzania (TWPG) wakifuatilia mada kwa makini
Mmoja wa Wabunge Mhe Esther Bulaya akijadili rasimu ya katiba wakati wa baraza la katiba la lilifanyika Bagamoyo
Makamu Mwenyekiti wa TWPG Mhe. Suzan Lyimo akifafanua jambo wakati wa baraza hilo
Makamu Mwenyekiti wa TWPG Mhe. Suzan Lyimo akifafanua jambo wakati wa baraza hilo
Mwenyekiti
wa TWPG mhe. Anna Abdalah akihutubia wajumbe wa baraza la Wabunge
wanawake wanaunda baraza la katika la Chama cha wabunge wanawake
Tanzania (TWPG) kabla ya kumkaribisha mgeni rasmi kufunga baraza hilo.
Mwenyekiti
wa TWPG mhe. Anna Abdalah akihutubia wajumbe wa baraza la Wabunge
wanawake wanaunda baraza la katika la Chama cha wabunge wanawake
Tanzania (TWPG) kabla ya kumkaribisha mgeni rasmi kufunga baraza hilo.
Mgeni
rasmi ambaye pia ni Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Mhe.
Jaji Joseph Warioba akifunga rasmi baraza la katiba la wabunge wanawake
waliokutana kujadili rasimu ya katiba ili kutoa mapendekezo
Mgeni
rasmi ambaye pia ni Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Mhe.
Jaji Joseph Warioba akifunga rasmi baraza la katiba la wabunge wanawake
waliokutana kujadili rasimu ya katiba ili kutoa mapendekezo
Waheshimiwa wabunge wakimpongeza Mhe. Warioba baada ya kufunga rasmi baraza hilo.
Waheshimiwa wabunge wakimpongeza Mhe. Warioba baada ya kufunga rasmi baraza hilo.
Mgeni
rasmi ambaye pia ni Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Mhe.
Jaji Joseph Warioba akiwa na katibu wa TWPG Mhe. Angela kairuki na Naibu
katibu wake Mhe. Dkt. Mary Mwanjelwa baada ya kufunga mkutano wa siku
tatu wa baraza hilo
Mwenyekiti
wa chama cha wabunge wanawake (TWPG) mhe. Anna Abdalah akiteta jambo na
katibu wake ambaye pia ni Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Angela
Kairuki
Mwenyekiti
wa chama cha wabunge wanawake (TWPG) akifafanua jambo mbele ya
waandishi wa habari kuhusu maazimio ya baraza la wabunge wanawake
lililokaa siku tatu kujadili rasimu ya katiba na kuainisha mapendekezo
yao. Kushoto ni Naibu katibu wa TWPG Mhe. Dkt. Mary Mwanjelwa na kulia
ni Makamu Mwenyekiti wa TWPG Mhe. Suzan Lyimo na katibu TWPG ambaye
pia ni Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Angela Kairuki.
Post a Comment