Msanii
wa muziki ambaye amekuwa akifanya muziki wake na kundi la Camp Mulla,
Miss Karun ametokea kwenye headlines baada ya kufanya poa katika moja
ya maonyesho yake ya mwisho kabisa, Live at The Elephants jijini
Nairobi, kabla ya kupaa kuelekea huko Marekani kwa ajili ya masomo.
Msanii
huyu katika onyesho lake hili pia alipewa shavu juu ua jukwaa na
msanii Taio Tripper ambaye na yeye kwa sasa anafanya kazi zake
binafsi nje ya kundi la Camp Mulla, ambapo pia bendi kali ya muziki,
Just a Band walikuwepo kufanya yap kwenye onyesho hilo.


إرسال تعليق