TBL YATOA MSAADA WA SH. MIL. 28 ZA KISIMA CHUO KIKUU CHA USHIRIKA NA BIASHARA MOSHI

Meneja Mauzo wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) Mkoa wa Kilimanjaro, Leiya Hermenegild (kulia) akimkabidhi mfano wa hundi yenye thamani ya sh.mil.28 Mkandarasi wa Kampuni ya uchimbaji visima ya Aqwe Drilling and Construction ya Mjini Moshi, Rishi Shah kwa ajili ya kuchimba kisima katika Chuo Kikuu cha Ushirika na Biashara cha Mjini Moshi (MUCCoBS) chuoni hapo mwishoni mwa wiki.Aliyevaa tai ni Mkuu wa chuo hicho, Profesa Faustine Bee.
Ofisa Uhusiano wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Dorice Malulu (wa tatu kulia)akielekezwa jambo na Rishi Shah  wa Kampuni ya Ukandarasi wa Uchimbaji Visima ya Aqwe Drilling and Construction ya Mjini Moshi  liyokabidhiwa hundi ya sh. mil. 28 za kuchimbia kisima cha maji katika Chuo Kikuu cha Ushirika na Biashara cha Mjini Moshi (MUCCoBS). TBL  iliyokabidhi hundi hiyo hivi karibuni chuoni hapo, imefadhili uchimbaji wakisima hicho

Post a Comment

أحدث أقدم